#WAZIRI WA HABARI BURUNDI APATIKANA AKIWA MFU KWENYE SHAMBA LA MIWA

 Waziri wa Habari na Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga

amepatikana amefariki kwenye shamba la miwa eneo la Kivoga huko Burundi. Polisi nchini humo inachunguza chanzo cha kifo chake. 

Gabby ameongoza wizara hiyo tangu Agosti mwaka 2025, akijipatia sifa kwa kuboresha upatikanaji wa mitandao na kuweka utaratibu katika matumizi ya mitandao ya kijamii, hususan YouTube. 

Alisifiwa pia na vyombo vya habari vya Rwanda kama kiongozi mwenye busara na hekima.

Tazama vidio hii ujionee.

#dwkiswahili #dwhabari #burundi #gabbybugaga #waziri

Chanzo 

DW- Kiswahili 

Post a Comment

Previous Post Next Post