Rais William Ruto anafanya Ziara katika Wilaya za kisii na Nyamira.
Ajenda ya "Bottom-Up": Kukuza uchumi wa eneo hilo kupitia ujenzi wa masoko, kusaidia wakulima, na vijana.
Siasa za 2027: Kuimarisha ushawishi wake wa kisiasa eneo la Gusii baada ya kuunda serikali ya mseto.
Afya: Ukaguzi wa Kituo cha Saratani cha Kisii County (Ksh 3 Bilioni).
Usafiri: Kuanza kwa ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Suneka (Airstrip) na ujenzi wa barabara.
Nyumba na Masoko: Ujenzi wa nyumba za gharama nafuu (Affordable Housing) na masoko ya kisasa.

