Muda huu usiku tar16 aprili 2026, Transformer ya umeme
wa Grid ya Kehancha inaingia eneo.la.kata ya Makerero karibu na Shule ya Misingi Keborui, Isibania, Kehancha Sub County.
Taarifa zinasema si mara ya kwanza Transformer hiyo kuingia na maafisa wa KPL company wamekuwa wakizuru eneo hile bila kufanya matengenezo yoyote.
